• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Kishapu District Council
Kishapu District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kishapu

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Vitengo
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Sheria
      • Ufugaji Nyuki
      • Ugavi na Manunuzi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Uchaguzi
    • Idara
      • Fedha
      • Rasilimali watu
      • Mipango na Takwimu
      • Maendeleo ya Jamii
  • Nyaraka
    • Fomu za kujinga na Kidato cha Tano
      • Shule ya Sekondari Kishapu
      • Shule ya Sekondari Shinyanga
    • Mpango wa bajeti wa mwaka 2021/2022
    • Matangazo
    • Sheria ndogo ya ushuru wa huduma
    • Mifumo
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Biashara
    • ujasiliamali
    • Kilimo
    • Uvuvi
      • Uvuvi wa Samaki katika Bwawa la Songwa, Bwawa mhumbu
    • Ufugaji
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
      • Mhe. William Luhende Jijimya - Mwenyekiti wa Halmashauri
      • Mhe. Francis Manyanda - Makamu Mwenyekiti wa Halmashauri
      • Mhe. Joel Ndettoson - Diwani kata ya Kishapu
      • Mhe. Mohamed Aman - Diwani kata ya Ndoleleji
      • Mhe. Lucas Nkende - Diwani kata ya Mwamashele
      • Mhe. Pontias Daud - Diwani kata ya Mwataga
      • Mhe. James Kasomi - Diwani kata ya Bubiki
      • Mhe. Bushi Mpina - Diwani kata ya Mwamalasa
      • Mhe. Nyama Kisinza - Diwani kata ya Somagedi
      • Mhe. Mashini W. Washima - Diwani kata ya Uchunga
      • Mhe. Anderson Mandia - Diwani kata ya Ukenyenge
      • Mhe. Edward Manyama - Diwani kata ya Kiloleli
      • Mhe. Reuben Siyabo - Diwani kata ya Bupigi
      • Mhe. Bujiku Nyanda - Diwani kata ya Mwaweja
      • Mhe. Michael Paul - Diwani kata ya Shagihilu
      • Mhe. Luhende S. Luhende - Diwani kata ya Lagana
      • Mhe. Richard Dominico - Diwani kata ya Talaga
      • Mhe. James Kamuga - Diwani kata ya Igaga
      • Mhe. Lameck Nsubata - Diwani kata ya Itilima
      • Mhe. Mpemba Malangahe - Diwani kata ya Bunambiyu
      • Mhe. Makenzi Charles - Diwani kata ya Busangwa
      • Mhe. Nestory Kalugula - Diwani kata ya Ngofila
      • Mhe. Lwinzi Kidiga - Diwani kata ya Maganzo
      • Mhe. Samson Gelewa - Diwani kata ya Mwasubi
      • Mhe. Sarah Marco - Diwani kata ya Idukilo
      • Mhe. Enock Bundala - Diwani kata ya Masanga
      • Mhe. Thabidha Mmbando - Diwani kata ya Mwakipoya
    • Kamati za kudumu
    • Ratiba ya Mwenyekiti wa Halmashauri
  • miradi
    • Miradi iliyopangwa kutekelezwa
    • Miradi inayotekelezwa
    • Miradi iliyokamilika
  • Kituo Cha Habari
    • maktaba ya picha
    • Video
    • Hotuba za Viongozi
    • Taarifa za Vyombo vya Habari
  • Maeneo
    • Kata
      • Orodha ya Kata
    • Tarafa
      • Orodha ya Tarafa
    • Vijiji
      • Orodha ya Vijiji

RC SHINYANGA APOKEA MWENGE WA UHURU 2025

Posted on: August 3rd, 2025

Mkuu wa Mkoa wa Tabora  Mhe. Paul Chacha (Kushoto) akimkabidhi hati ya makabidhiano Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga Mhe.Mboni Mohamed Mhita (Kulia)  katika Viwanja vya Stendi ya Mabasi Kagongwa Kata ya Kagongwa Wilayani Kahama Agosti 8,2025

Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga, Mhe. Mboni Mohamed Mhita, leo Agosti 3, 2025, amepokea rasmi Mwenge wa Uhuru kutoka kwa Mkuu wa Mkoa wa Tabora, Mhe. Paul Chacha, katika viwanja vya Stendi ya Mabasi Kagongwa, wilayani Kahama.

Mkuu wa Wilaya ya Kishapu Mkoani Shinyanga Mhe Peter Masindi akiwa ameshikilia mwenge wa uhuru uliipokelewa ki Mkoa Stendi ya mabasi Kagongwa Kata ya Kagongwa Wilayani Kahama Mkoani humo kutoka Mkoa wa Tabora Agosti 8,2025

Akizungumza baada ya kupokea Mwenge huo, Mhe.Mhita amesema kuwa Mwenge wa Uhuru ukiwa Mkoani Shinyanga utakimbizwa umbali wa kilomita 819.2 katika Halmashauri sita za Mkoa huo, ambapo utapitia jumla ya miradi 44 kwa ajili ya kukagua, kuzindua na kuweka mawe ya msingi.

Katibu Tawala Wilayani Kishapu Mkoani Shinyanga Bi.Fatma Mohamed akisalimiana na kiongozi wa mbio za mwenge wa uhuru mwaka 2025 Ismail Ali Ussi katika Viwanja vya stand ya mabasi Kagongwa Kata ya Kagongwa Wilayani Kahama wakiingia Mkoani humo kutokea Mkoani Tabora Agosti 3,2025

Mhita Ameeleza kuwa thamani ya miradi hiyo ni Shilingi bilioni 17.3, ikiwa ni ishara ya juhudi za Serikali katika kuimarisha maendeleo ya kijamii na kiuchumi kwa wananchi wa mkoa wa Shinyanga.

Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Kishapu Mkoani Shinyanga Bw.Emmanuel Johnson akisalimiana na kiongozi wa mbio za mwenge wa uhuru mwaka 2025 Ismail Ali Ussi katika Viwanja vya stand ya mabasi Kagongwa Kata ya Kagongwa Wilayani Kahama wakiingia Mkoani humo kutokea Mkoani Tabora Agosti 3,2025

Mbio za Mwenge wa Uhuru mwaka huu zinakimbizwa na wakimbiza Mwenge sita wakiongozwa na kiongozi wa mbio hizo, Ismail Ali Ussi.

Kauli mbiu ya Mwenge wa Uhuru kwa mwaka 2025 ni "Jitokeze Kushiriki Uchaguzi Mkuu wa Mwaka 2025 kwa Amani na Utulivu", ikisisitiza umuhimu wa ushiriki wa wananchi katika uchaguzi mkuu unaotarajiwa kufanyika mwaka huu kwa njia ya amani na utulivu.

Mwenge wa Uhuru unaanza mbio zake Wilayani Kahama hii Leo na unatarajiwa kukamilisha mbio zake katika Mkoa wa Shinyanga kwa Wilaya ya Kishapu na kukabidhiwa kwa Mkoa wa Simiyu Agosti 9, 2025 katika Kijiji cha Njiapanda huku mapokezi ya Wilaya ya Kishapu yatakuwa katika uwanja wa Kijiji cha Seseko na eneo la mkesha kuwa Uwanja wa Shirecu.

Mwenge huo unatarajiwa kuhamasisha mshikamano wa kitaifa, maendeleo endelevu, na ushirikiano baina ya Serikali na wananchi katika kutatua changamoto mbalimbali za kijamii.

Matangazo

  • TAARIFA YA MTIRIRIKO WA FEDHA KWA KIPINDI KILICHOISHIA TAREHE 30 JUNE. 2022 August 14, 2023
  • ORODHA YA MAJINA YA WALIOITWA KWENYE USAILI November 03, 2023
  • TANGAZO LA NAFASI YA KAZI YA MFAMASIA December 14, 2021
  • Orodha ya Walioitwa kwenye Usaili September 20, 2024
  • Tazama yote

Habari Mpya

  • JOHNSON AHAMASISHA MAPINDUZI KUWALINDA WANAWAKE NA WATOTO KISHAPU

    August 15, 2025
  • MGOMBEA UBUNGE CHAMA CHA MAKINI JIMBO LA KISHAPU ACHUKUA FOMU

    August 14, 2025
  • MWENGE WA UHURU 2025 WALIDHISHWA NA MIRADI YOTE KISHAPU

    August 08, 2025
  • KILELE CHA MAADHIMISHO WIKI YA UNYONYESHAJI KISHAPU YAFANYIKA SHAGIHILU

    August 07, 2025
  • Tazama yote

Video

EGA ANNOUNCIMENT
Video zaidi

Viunganishi cha Haraka

  • fomu mbalimbali
  • Dira na Dhima ya Halmashauri

Tovuti Mashuhuri

  • Tovuti ya Kuu ya Serikali
  • Tovuti ya Ofisi ya Rais Ikulu
  • Tovuti ya Utumishi
  • Tovuti ya OR-TAMISEMI
  • Tovuti ya Ofisi ya Takwimu
  • Tovuti ya Idara ya Habari Maelezo

Watazamaji mbalimbali Duniani

world map hits counter

Idadi ya wasomaji

free HitCounter

Mwonekano wa Ramani

Wasiliana nasi

    Halmashauri ya Wilaya Kishapu

    Anwani ya Posta: S.L.P. 1288 KISHAPU

    Simu ya mezani: +255282770020

    Simu: +255282770020

    Barua pepe: info@kishapudc.go.tz/ded.kishapudc@shinyanga.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Eneo

Hakimiliki © 2016 Halmashauri ya wilaya ya Kishapu. Haki zote zimehifadhiwa