• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Kishapu District Council
Kishapu District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kishapu

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Utawala
      • Biashara, Viwanda na Uwekezaji
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maendeleo ya jamii
      • Afya
      • Kilimo,Mifugo na Uvuvi
      • Ujenzi
    • Vitengo
      • Manunuzi na Ugavi
      • Huduma za Sheria
      • Uchaguzi
      • Ukaguzi wa ndani
      • Mawasiliano Serikalini
      • Tehama
      • Utamaduni, Sanaa na Michezo
      • Maliasili na Uhifadhi wa Mazingira
      • Usafi wa Mazingira na Udhibiti Taka
      • Fedha na Uhasibu
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Elimu
    • Afya
    • Kilimo na Mifugo
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za kudumu
    • Ratiba ya kuonana na mwenyekiti wa Halmashauri
    • Ratiba ya vikao vya kisheria vya MSM
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
  • Machapisho
    • Mpango Mkakati
    • Sheria ndogo ndogo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa umma
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya picha na video za shughuli za maendeleo

VIJANA 648 JIMBO LA KISHAPU WAANZA MAFUNZO YA SIKU 2 KWAAJILI YA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA.

Posted on: August 18th, 2024

VIJANA 648 JIMBO LA KISHAPU WAANZA  MAFUNZO YA SIKU 2 KWAAJILI YA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA.

Jimbo la  Kishapu Mkoani Shinyanga  wameanza mafunzo ya siku mbili kwa Waandishi wasaidizi na Waendeshaji wa vifaa vya Bayometriki wapatao 648 watakaosambazwa kwenye Vituo 324 kwa ajili ya kazi ya uboreshaji wa taarifa katika Daftari la kudumu la wapiga kura .

Akizungumza katika ufunguzi wa mafunzo hayo yanayoendelea katika kumbi tofauti tofauti katika Jimbo la Kishapu, Afisa Mwandikishaji wa Jimbo Kishapu Ndugu,  Emmanuel Johnson ametoa wito kwa Wananchi wote wenye sifa za kujiandikisha na kuboresha taarifa zao katika daftari la kudumu la wapiga kura litakalo anza Tarehe 21-27 Agosti 2024 kufika katika vituo vilivyo kwenye  maeneo yao ili waweze kuboresha taarifa zao,

Aidha Afisa Mwandikishaji wa Jimbo la Kishapu ametumia furusa hiyo kuwapongeza washiriki wote kwa kuteuliwa na Tume kuendesha na kusimamia zoezi la uboreshaji wa Daftari la kudumu la wapiga kura.

“Sina shaka kuwa kuteuliwa kwenu kunatokana na ujuzi,uwezo na weledi mlionao katika kutekeleza majukumu ya kitaifa likiwemo zoezi la uboreshaji wa Daftari ikiwa ni maandalizi ya Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2025”Amesisitiza Afisa Mwandikishaji Jimbo la Kishapu Ndugu, Emmanuel Johnson. 

@tumeyauchaguzi_tanzania

Matangazo

  • TANGAZO LA MWALIKO WA MKUTANO WA BARAZA LA MADIWANI January 20, 2026
  • TANGAZO LA NAFASI YA KAZI December 22, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI November 21, 2025
  • Tazama yote

Habari Mpya

  • KISHAPU YAPITISHA BAJETI YA BILIONI 54.3 2026/2027

    February 12, 2026
  • KISHAPU YAJIPANGA KUONGEZA UZALISHAJI PAMBA

    February 04, 2026
  • BARAZA LA WAFANYAKAZI KISHAPU LAPITISHA MWELEKEO MPYA MASLAHI YA WATUMISHI

    February 03, 2026
  • VIKUNDI 21 MAKUNDI MAALUMU VYAPATIWA MIKOPO KISHAPU

    January 29, 2026
  • Tazama yote

Video

EGA ANNOUNCIMENT
Video zaidi

Viunganishi cha Haraka

  • fomu mbalimbali
  • Dira na Dhima ya Halmashauri

Tovuti Mashuhuri

  • Tovuti ya Kuu ya Serikali
  • Tovuti ya Ofisi ya Rais Ikulu
  • Tovuti ya Utumishi
  • Tovuti ya OR-TAMISEMI
  • Tovuti ya Ofisi ya Takwimu
  • Tovuti ya Idara ya Habari Maelezo

Watazamaji mbalimbali Duniani

world map hits counter

Idadi ya wasomaji

free HitCounter

Mwonekano wa Ramani

Wasiliana nasi

    Halmashauri ya Wilaya Kishapu

    Anwani ya Posta: S.L.P. 1288 KISHAPU

    Simu ya mezani: +255282770020

    Simu: +255282770020

    Barua pepe: info@kishapudc.go.tz/ded.kishapudc@shinyanga.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Eneo

Hakimiliki © 2016 Halmashauri ya wilaya ya Kishapu. Haki zote zimehifadhiwa