Posted on: September 20th, 2021
Wananchi wa wilaya ya Kishapu wameipongeza sana TANROADS kwa kuwakumbuka kuwafungia taa zinazo tumia mionzi ya juu kwenye barabara kuu inayo tokea shinyanga manispaa richa tu ya ulinzi lakini...
Posted on: September 20th, 2021
Mkuu wa wilaya ya Kishapu mhe Joseph Mkude amewataka viongozi wote kuanzia vijiji mpaka kata mikutano ya mkuu wa wilaya kudhuria ni lazima, ameyazungumza hayo akiwa anazungumza na wananchi wa...
Posted on: September 14th, 2021
Mkuu wa mkoa wa shinyanga Dkt Philemon L. Sengati leo tar 14.09.2021 amefanya ziara ya kikazi wilaya ya kishapu, Lengo ni kukagua miradi ya maendeleo baadhi ya maeneo ya wilaya ya kishapu ikiwemo seko...